Virutubisho vya Moringa kwa wanawake wanaotaka kupata mtoto

Mmea wa Mzunze (Moringa) na Safari ya Kutafuta MtotoKatika jamii za Afrika na Asia, Moringa oleifera Mmea wa Mzunze (Moringa) na Safari ya Kutafuta MtotoKatika jamii nyingi za Afrika na Asia, Moringa oleifera (maarufu kama mzunze au mlonge) umetumika kama chakula na tiba asili kwa karne nyingi. Mbali na kuwa chanzo kikubwa cha virutubisho, watafiti wengi wameanza kuchunguza mchango wake katika afya ya uzazi kwa wanawake.Kwa nini Moringa ni muhimu kwa mwanamke anayetafuta mtoto?Moringa una virutubisho muhimu vinavyohitajika katika maandalizi ya ujauzito, kama vile:Chuma (Iron) – kusaidia kuzuia upungufu wa…

BAWASIRI

BAWASIRI

Bawasiri  pia inajulikana kama piles, ni miundo ya mishipa katika mfereji wa haja kubwa Katika hali ya kawaida, ni matakia ambayo husaidia kudhibiti kinyesi. Wakati mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya haja kubwa, sawa na mishipa ya varicose. Bawasiri zinaweza kukua ndani ya puru (bawasiri za ndani) au chini ya ngozi karibu na njia ya haja kubwa (bawasiri za nje).  Dalili  za bawasiri hutegemea aina iliyopo. Bawasiri za ndani mara nyingi husababisha kutokwa na damu isiyo na uchungu, nyekundu nyangavu ya puru wakati…

Uzazi wa mpango kwa kutumia kalenda

uzazi wa mpango kwa kutumia kalenda

Kufahamu kuhusu siku za kushika mimba ni muhimu sana kwa wale wanaotaka kupata mtoto na pia wale wanaotaka kudhibiti uzazi, Kupitia chapisho hili, nitakujuza hatua kwa hatua ni kwa jinsi gani unaweza kutumia njia ya kiasili ya kalenda kufahamu siku ambazo mwanamke anaweza kupata mimba na hivyo kufanya maamuzi sahihi. Nakusihi usome hadi mwisho na usiache kuuliza kwa ku comment kama kuna lolote unataka kufahamu zaidi, pia share kwa wengine na wao wapate faida. Kuhusu uzazi wa mpango kwa kutumia kalenda: Ili kuitumia njia hii kwa mafanikio makubwa unahitaji kujua…

Haifa – Suluhisho la magonjwa Sugu ya Kina mama

Haifa Dawa ya magonjwa ya kina mama

Maelezo mchanganyiko wa dawa kubwa za asili zinazotibu maradhi sugu ya kina mama (mwanamke)– > kusafisha mfumo wa uzazi–> kizibua mirija ya uzazi-> kuondoa uvimbe kwenye mfuko wa uzazi-> hedhi zisizo na mpango mpangilio au zinazo ambatana na maumivu makalina homakutoshika mimba na ikishika ina poromoka (ina haribika)maumivu makali wakati wa tendo au kutohisi hamu kabisa Matumizi Tumia vijiko vidigo 2×2 ndani ya kikombe kimoja cha uji, maziwa , maji moto kwa siku

Rijaal – dawa ya kurejesha nguve za kiume

Rijali- Dawa ya Nguvu Za Kiume

rijaaltikisa kwanza kabla ya kutumia tatizo la kuishiwa nguvu za kiume husaba bishwa wingi wa mafuta mwilini kitaalamu ina itwa kolestol na piahuleta madhara ya ugonjwa wa moyo kisukari namaranyingi magonjwa husababisha tatizo hilojiepushe kula kupika kiasi ili uweze kupumua vizurijiepushe kutumia mafuta mengi katika chakula mafuta huleta magonjwa na maradhi mengi katika mwili dawa hii ya rijaali hupambana na maradhi mengi sanaina kinga na inatibuina punguza mafuta ya mwilimafuta ya lio shikan na mishipa ya damu na kutibu maumivu ya moyohutibu kibofu cha mkojo na kusafisha figo husafisha mwili…

TANGAWIZI NIKIUNGO NA TIBA KWAUJUMLA

TIBA ASILI

TANGAWIZI ni kiungo kinachotokana na mizizi ya mmea wa tangawizi. Mmea huu unafanana na binzari ikiwa bado haijamenywa maganda yake. Kwa hapa Tanzania, hulimwa zaidi katika mikoa ya nyanda za juu kusini na baadhi ya mikoa kama Kilimanjaro, baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara, Morogoro na kwingineko. Pia kama bidhaa inapatikana nchi nzima kwa bei nafuu kabisa na kila mtu mwenye uwezo wowote wa kiuchumi anaweza kununua aidha kwa kipande kimoja, fungu au hata kwa kilo. Tangawizi inatumikaje? Mmea huu unaweza kuonekana kama wa kawaida na watu kuutumia tu…